top of page

Upendo- Paul Clement

Verse 1

Unazijua siri zangu, Lakini hukumwambia mtu,

Kuwa niliiba, Kile nilifanya,

Pale nilisema uongo

 

Unazijua siri zangu,  Lakini hukumwambia mtu, 

Kuwa niliiba, Kile nilifanya,

Pale nilisema uongo

 

Chorus

Unazijua siri zangu, Lakini umezificha,

Ukiamua uziseme, Nitaaibika, 

 

Unazijua siri zangu, Lakini umezificha,

Umeamua unisitiri, Ndivyo ulivyopenda. 

 

Verse 2

Unaujua undani wangu,  Lakini hukumwambia mtu,

Kuwa ni mdhaifu,  Tena ni mchafu,

Umenifunika tu

 

Unaujua moyo wangu,  Unayajua mawazo yake,

Si mawazo mema,  Yasiopendeza, 

Umenifunika tu

 

Chorus

Unazijua siri zangu, Lakini umezificha, 

Ukiamua uziseme,  Nitaaibika, 

 

Unazijua siri zangu, Lakini umezificha,

Umeamua unisitiri, Ndivyo ulivyopenda.

bottom of page